TyDiQA1.0

The Typologically Different Question Answering Dataset

Predictions

Scores

Kiarabu

The Typologically Different Question Answering Dataset

 Kiarabu (ar.: العَرَبِيَّة‎‎, al-ʻarabiyyah, kwa kirefu al-luġatu al-ʿarabiyya ) ni lugha ya Kisemiti inayotumiwa na watu milioni 206 kama lugha ya kwanza[1] na milioni 246 wa ziada kama lugha ya pili. Ilhali kuna lahaja nyingi, Kiarabu sanifu (ar. الفصحى fuṣḥā) ni lugha rasmi ya nchi 22 za Jumuiya ya Nchi za Kiarabu na ya Mkutano wa Kilele wa Kiislamu na mojawapo ya lugha rasmi za Umoja wa Mataifa. Kuna pia matumizi kama lugha ya kidini katika Uislamu. 

Je, Lugha asilia ya kitabu cha Alfu Lela Ulela ni ipi?

  • Ground Truth Answers: Kiarabu

  • Prediction:

Fasihi ya Kiarabu isiyo na tabia ya kidini ilikuwa hasa Ushairi. Washairi kama Abu Nuwas, Omar Khayyam, Hafiz, ibn Qayyim al-Jawziyyah wanakumbukwa hadi leo. Masimulizi kama Alfu Lela U Lela hayakuwa fasihi yenyewe, hata kama yamepata umaarufu katika nchi za Ulaya. 

Je, Lugha asilia ya kitabu cha Alfu Lela Ulela ni ipi?

  • Ground Truth Answers: Kiarabu

  • Prediction: