TyDiQA1.0

The Typologically Different Question Answering Dataset

Predictions

Scores

Kericho

The Typologically Different Question Answering Dataset

Kericho ni mji wa Kenya ya kusini magharibi na makao makuu ya kaunti ya Kericho katika Bonde la Ufa la Afrika Mashariki wenye wakazi 42,029 ambao pamoja na vitongoji wa nje hufikia 104,282 kwa eneo kubwa la mji[1].

Je,msitu wa Mau inapatikana katika kaunti gani?

  • Ground Truth Answers: Kericho

  • Prediction:

Chanzo cha maji cha msitu mau ambacho ni kikubwa kuliko zote nchini Kenya kinapatikana mjini Kericho. Mji huu ni makao makuu ya sekta kubwa ya kilimo cha chai nchini Kenya. Makampuni makubwa ya chai kwa mfano Unilever Kenya' James Finlay na Williamson tea zinapatikana hapa. Chai inayokuzwa hapa huwa inasafirishwa na kuuzwa nchi za Uropa hasa Uingereza. Idadi ya watu wote kwenye kaunti hii ni 752,396 (sensa 2009). 

Je,msitu wa Mau inapatikana katika kaunti gani?

  • Ground Truth Answers: Kericho

  • Prediction: