Jamhuri ya Gabon, kutoka kushinda uhuru kutoka Ufaransa tarehe 17 Agosti 1960, imeongozwa na Rais watatu, Léon M'ba, El Hadj Omar Bongo ambaye amekuwa kiongozi kutoka mwaka wa 1967 hadi kifo chake (2009: ndiye aliyekuwa kiongozi barani Afrika aliyeshikilia uongozi kwa muda mrefu zaidi), halafu mwanae Ali.
Je,rais wa kwanza wa Gabon anaitwa nani?
Ground Truth Answers: Léon M'baLéon M'ba
Prediction: