Amekwenda kwenye ziara kaadhaa Afrika Mashariki , Marekani na pia Uingereza Alitoa albamu yake ya "on fire mwaka wa"2004. Pia mwaka huo huo wa 2004 Mathenge alimuoa msanii mwenzake Wahu Kagwe waliyekuwa wakirekodi pamoja katika Ogopa DJ's. Wana mtoto mmoja, binti ambaye alizaliwa mwaka 2006. Yeye pia ni mbunifu na alfuzu kutoka Chuo Kikuu cha Nairobi.