Kratom (jina la Kilatini: Mitragyna speciosa) ni mti wa kijani wa kitropiki katika familia ya kahawa (Rubiaceae) wenye asili ya kusini mashariki mwa Asia. Mti huu unapatikana kwa wingi nchi za Thailand, Indonesia, Malaysia, Myanmar, na Papua New Guinea ambako umetumika kama dawa ya asili tangu karne ya 19.
Je,jina ya kisayansi ya mti wa Kratom ni?
Ground Truth Answers: Mitragyna speciosaMitragyna speciosaRubiaceae
Prediction: