TyDiQA1.0

The Typologically Different Question Answering Dataset

Predictions

Scores

Kiebrania

The Typologically Different Question Answering Dataset

Kiebrania ni lugha iliyotumika kuandikia Torati na sehemu kubwa ya maandiko mengine ya Biblia ya Kiebrania. Sehemu hiyo ya Kiebrania pamoja na sehemu ndogo ya Kiaramu huitwa "Tanakh" katika mapokeo ya Kiyahudi na imo katika Agano la Kale ya Biblia ya Kikristo.

Neno kiebrania iko na maana gani?

  • Ground Truth Answers: lugha iliyotumika kuandikia Torati na sehemu kubwa ya maandiko mengine ya Biblia ya Kiebraniailiyotumika kuandikia Torati na sehemu kubwa ya maandiko mengine ya Biblia ya KiebraniaKiebrania ni lugha iliyotumika kuandikia Torati na sehemu kubwa ya maandiko mengine ya Biblia ya Kiebrania

  • Prediction: