ANC ilianzishwa mjini Bloemfontein tar. 8 Januari 1912 kwa jina la "South African Native National Congress". Jina la "Congress" lilichaguliwa kufuatana na mfano wa chama cha Kinhindi cha "Indian National Congress" ilikuwa chama cha kwanza katika koloni za Uingereza kilichodai mabadiliko ya ukoloni kwa njia ya kisiasa. Madai ya ANC yalikuwa hasa haki kwa ajili ya wakazi asilia katika nchi mpya ya Umoja wa Afrika Kusini. Mwaka 1924 jina likabadilishwa kuwa "African National Congress".
Chama cha African National Congress kilianzishwa mwaka gani?
Ground Truth Answers: 191219128 Januari 1912
Prediction: